Skip to content
Zaburi 2:7-8

Zaburi 2:7-8

7
Nitatangaza amri ya Bwana: Yeye aliniambia, “Wewe ni Mwanangu, leo mimi nimekuzaa.
8
Niombe, nami nitayafanya mataifa kuwa urithi wako, miisho ya dunia kuwa milki yako.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options