Zaburi 2:6-8
6
“Nimemtawaza Mfalme wangu juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
7
Nitatangaza amri ya Bwana: Yeye aliniambia, “Wewe ni Mwanangu, leo mimi nimekuzaa.
8
Niombe, nami nitayafanya mataifa kuwa urithi wako, miisho ya dunia kuwa milki yako.