Skip to content
Zaburi 2:11-12

Zaburi 2:11-12

11
Mtumikieni Bwana kwa hofu na mshangilie kwa kutetemeka.
12
Mbusu Mwana, asije akakasirika nawe ukaangamizwa katika njia yako, kwa maana hasira yake inaweza kuwaka ghafula. Heri wote wanaomkimbilia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options