Skip to content
Zaburi 19:7-8

Zaburi 19:7-8

7
Sheria ya Bwana ni kamilifu, ikihuisha nafsi. Shuhuda za Bwana ni za kuaminika, zikimpa mjinga hekima.
8
Maagizo ya Bwana ni kamili, nayo hufurahisha moyo. Amri za Bwana huangaza, zatia nuru machoni.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options