Skip to content
Zaburi 19:12-13

Zaburi 19:12-13

12
Ni nani awezaye kutambua makosa yake? Nisamehe makosa yangu nisiyoyajua.
13
Mlinde mtumishi wako na dhambi za makusudi, nazo zisinitawale. Ndipo nitakapokuwa sina lawama, wala sitakuwa na hatia ya kosa kubwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options