Rukia maudhui
Zaburi 19:1-3

Zaburi 19:1-3

1
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu, anga zahubiri kazi ya mikono yake.
2
Siku baada ya siku zinatoa habari, usiku baada ya usiku zinatangaza maarifa.
3
Hakuna msemo wala lugha, ambapo sauti zao hazisikiki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options