Skip to content
Zaburi 18:43-45

Zaburi 18:43-45

43
Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu; umenifanya kuwa kiongozi wa mataifa, watu ambao sikuwajua wananitumikia.
44
Mara wanisikiapo hunitii, wageni hunyenyekea mbele yangu.
45
Wote wanalegea, wanatoka katika ngome zao wakitetemeka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options