Skip to content
Zaburi 18:43-44

Zaburi 18:43-44

43
Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu; umenifanya kuwa kiongozi wa mataifa, watu ambao sikuwajua wananitumikia.
44
Mara wanisikiapo hunitii, wageni hunyenyekea mbele yangu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options