Zaburi 18:37-40
37
Niliwafuatia adui zangu na nikawapata, sikurudi nyuma mpaka walipoangamizwa.
38
Niliwaseta hata hawakuweza kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.
39
Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita; uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.
40
Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia, nami nikawaangamiza adui zangu.
Settings