Skip to content
Zaburi 18:37-40

Zaburi 18:37-40

37
Niliwafuatia adui zangu na nikawapata, sikurudi nyuma mpaka walipoangamizwa.
38
Niliwaseta hata hawakuweza kuinuka tena; walianguka chini ya miguu yangu.
39
Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita; uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.
40
Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia, nami nikawaangamiza adui zangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options