Zaburi 18:32-34
32
Mungu ndiye anivikaye nguvu na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.
33
Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu, huniwezesha kusimama mahali palipo juu.
34
Huifundisha mikono yangu kupigana vita; mikono yangu inaweza kupinda upinde wa shaba.