Skip to content
Zaburi 18:25-26

Zaburi 18:25-26

25
Kwa yeye aliye mwaminifu, unajionyesha kuwa mwaminifu, kwa asiye na hatia, unajionyesha kutokuwa na hatia.
26
Kwa aliye mtakatifu, unajionyesha kuwa mtakatifu, lakini kwa aliyepotoka, unajionyesha kuwa mkaidi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options