Skip to content
Zaburi 16:1-2

Zaburi 16:1-2

1
Utenzi wa Daudi. Ee Mungu, uniweke salama, kwa maana kwako nimekimbilia.
2
Nilimwambia Bwana, “Wewe ndiwe Bwana wangu; pasipo wewe sina jambo jema.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options