Skip to content
Zaburi 15:1-2

Zaburi 15:1-2

1
Zaburi ya Daudi. Bwana, ni nani awezaye kukaa katika Hekalu lako? Nani awezaye kuishi katika mlima wako mtakatifu?
2
Ni yule aendaye pasipo mawaa, atendaye yaliyo haki, asemaye kweli toka moyoni mwake,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options