Zaburi 14:7
Inaonyesha mstari 7 pamoja na muktadha unaouzunguka.
4
Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza: wale ambao huwala watu wangu kama watu walavyo mkate, hao ambao hawamwiti Bwana?
5
Wako hapo, wameingiwa na hofu kuu, maana Mungu yupo pamoja na wenye haki.
6
Ninyi watenda mabaya mnakwamisha mipango ya maskini, bali Bwana ndiye kimbilio lao.
7
Laiti wokovu wa Israeli ungalikuja kutoka Sayuni! Wakati Bwana arejeshapo wafungwa wa watu wake, Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi!
Settings