Zaburi 145:21
Inaonyesha mstari 21 pamoja na muktadha unaouzunguka.
18
Bwana yu karibu na wote wamwitao, karibu na wote wamwitao kwa uaminifu.
19
Huwatimizia wamchao matakwa yao, husikia kilio chao na kuwaokoa.
20
Bwana huwalinda wote wampendao, bali waovu wote atawaangamiza.
21
Kinywa changu kitazinena sifa za Bwana. Kila kiumbe na kilisifu jina lake takatifu milele na milele.
Settings