Skip to content
Zaburi 145:21

Ahadi ya Mwisho ya Kumsifu Mungu Ulimwenguni

Zaburi 145:21
Inaonyesha mstari 21 pamoja na muktadha unaouzunguka.
18
Bwana yu karibu na wote wamwitao, karibu na wote wamwitao kwa uaminifu.
19
Huwatimizia wamchao matakwa yao, husikia kilio chao na kuwaokoa.
20
Bwana huwalinda wote wampendao, bali waovu wote atawaangamiza.
21
Kinywa changu kitazinena sifa za Bwana. Kila kiumbe na kilisifu jina lake takatifu milele na milele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options