Skip to content
Zaburi 140:4-5

Zaburi 140:4-5

4
Ee Bwana, niepushe na mikono ya waovu; nilinde na watu wenye jeuri wanaopanga kunikwaza miguu yangu.
5
Wenye kiburi wameficha mtego wa kuninasa, wametandaza kamba za wavu wao, wametega mitego kwenye njia yangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options