Skip to content
Zaburi 14:2-3

Zaburi 14:2-3

2
Bwana anawachungulia wanadamu chini kutoka mbinguni aone kama wako wenye akili, wowote wanaomtafuta Mungu.
3
Wote wamepotoka, wameharibika wote pamoja, hakuna atendaye mema. Naam, hakuna hata mmoja!
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options