Skip to content
Zaburi 139:19-24

Zaburi 139:19-24

19
Laiti ungewachinja waovu, Ee Mungu! Ondokeni kwangu, ninyi wamwaga damu!
20
Wanazungumza juu yako wakiwa na kusudi baya, adui zako wanatumia vibaya jina lako.
21
Ee Bwana, je, nisiwachukie wanaokuchukia? Nisiwachukie sana wanaoinuka dhidi yako?
22
Sina kitu zaidi ya chuki dhidi yao, ninawahesabu ni adui zangu.
23
Ee Mungu, nichunguze, uujue moyo wangu, nijaribu na ujue mawazo yangu.
24
Uone kama kuna njia iletayo machukizo ndani yangu, uniongoze katika njia ya milele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options