Skip to content
Zaburi 139:17-18

Zaburi 139:17-18

17
Tazama jinsi yalivyo ya thamani mawazo yako kwangu, Ee Mungu! Jinsi jumla yake ilivyo kubwa!
18
Kama ningezihesabu, zingekuwa nyingi kuliko mchanga. Niamkapo, bado niko pamoja nawe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options