Skip to content
Zaburi 139:13-14

Zaburi 139:13-14

13
Kwa maana wewe ndiwe uliyeumba utu wangu wa ndani; uliniunga pamoja tumboni mwa mama yangu.
14
Ninakusifu kwa sababu nimeumbwa kwa namna ya ajabu na ya kutisha; kazi zako ni za ajabu, ninajua hayo kikamilifu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options