Skip to content
Zaburi 135:6-7

Zaburi 135:6-7

6
Bwana hufanya lolote apendalo, mbinguni na duniani, katika bahari na vilindi vyake vyote.
7
Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia; hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua na huleta upepo kutoka ghala zake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options