Skip to content
Zaburi 128:2-4

Zaburi 128:2-4

2
Utakula matunda ya kazi yako; baraka na mafanikio vitakuwa vyako.
3
Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao ndani ya nyumba yako; wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni kuizunguka meza yako.
4
Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa mtu amchaye Bwana.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options