Zaburi 121:4-8
4
hakika, yeye alindaye Israeli hatasinzia wala hatalala usingizi.
5
Bwana anakulinda, Bwana ni uvuli wako mkono wako wa kuume,
6
jua halitakudhuru mchana, wala mwezi wakati wa usiku.
7
Bwana atakukinga na madhara yote, atayalinda maisha yako,
8
Bwana atakulinda unapoingia na unapotoka, tangu sasa na hata milele.
Settings