Skip to content
Zaburi 12:3-4

Zaburi 12:3-4

3
Bwana na akatilie mbali midomo yote ya hila na kila ulimi uliojaa majivuno,
4
ule unaosema, “Kwa ndimi zetu tutashinda; midomo ni mali yetu, bwana wetu ni nani?”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options