Skip to content
Zaburi 12:1-2

Zaburi 12:1-2

1
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi. Bwana tusaidie, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka; waaminifu wametoweka miongoni mwa wanadamu.
2
Kila mmoja humwambia jirani yake uongo; midomo yao ya hila huzungumza kwa udanganyifu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options