Zaburi 119:44-48
44
Nitaitii amri yako daima, naam, milele na milele.
45
Nitatembea nikiwa huru, kwa kuwa nimejifunza mausia yako.
46
Nitasema sheria zako mbele za wafalme wala sitaaibishwa,
47
kwa kuwa ninazifurahia amri zako kwa sababu ninazipenda.
48
Ninaziinulia amri zako ambazo ninazipenda mikono yangu, nami ninatafakari juu ya maagizo yako.
Settings