Skip to content
Zaburi 119:33-34

Zaburi 119:33-34

33
Ee Bwana, nifundishe kuyafuata maagizo yako, nami nitayashika mpaka mwisho.
34
Nipe ufahamu, nami nitaishika sheria yako na kuitii kwa moyo wangu wote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options