Skip to content
Zaburi 118:22-24

Zaburi 118:22-24

22
Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni.
23
Bwana ametenda hili, nalo ni la kushangaza machoni petu.
24
Hii ndiyo siku Bwana aliyoifanya, tushangilie na kufurahi ndani yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options