Skip to content
Zaburi 116:6-8

Zaburi 116:6-8

6
Bwana huwalinda wanyenyekevu, nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.
7
Ee nafsi yangu, tulia tena, kwa kuwa Bwana amekuwa mwema kwako.
8
Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, umeniokoa nafsi yangu na mauti, macho yangu kutokana na machozi, miguu yangu kutokana na kujikwaa,
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options