Zaburi 116:6-8
6
Bwana huwalinda wanyenyekevu, nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.
7
Ee nafsi yangu, tulia tena, kwa kuwa Bwana amekuwa mwema kwako.
8
Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, umeniokoa nafsi yangu na mauti, macho yangu kutokana na machozi, miguu yangu kutokana na kujikwaa,