Skip to content
Zaburi 113:6-9

Zaburi 113:6-9

6
ambaye huinama atazame chini aone mbingu na nchi?
7
Huwainua maskini kutoka mavumbini, na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,
8
huwaketisha pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
9
Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake, akiwa mama watoto mwenye furaha. Msifuni Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options