Zaburi 113:5-8
5
Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu, Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,
6
ambaye huinama atazame chini aone mbingu na nchi?
7
Huwainua maskini kutoka mavumbini, na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,
8
huwaketisha pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.