ഉള്ളടക്കത്തിലേക്ക് പോകുക
Zaburi 109:26-27

Zaburi 109:26-27

26
Ee Bwana, Mungu wangu nisaidie, niokoe sawasawa na upendo wako.
27
Watu na wafahamu kuwa ni mkono wako, kwamba wewe, Ee Bwana, umetenda hili.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options