Zaburi 109:2-5
2
kwa maana watu waovu na wadanganyifu wamefungua vinywa vyao dhidi yangu; wasema dhidi yangu kwa ndimi za udanganyifu.
3
Wamenizunguka kwa maneno ya chuki, wananishambulia bila sababu.
4
Wanachonilipa badala ya urafiki wangu ni kunishtaki, lakini mimi ninawaombea.
5
Wananilipiza mabaya kwa mema, chuki badala ya urafiki wangu.
Settings