Skip to content
Zaburi 109:2-3

Zaburi 109:2-3

2
kwa maana watu waovu na wadanganyifu wamefungua vinywa vyao dhidi yangu; wasema dhidi yangu kwa ndimi za udanganyifu.
3
Wamenizunguka kwa maneno ya chuki, wananishambulia bila sababu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options