Skip to content
Zaburi 109:17-19

Zaburi 109:17-19

17
Alipenda kulaani, nayo laana ikampata; hakupenda kubariki, kwa hiyo baraka na ikae mbali naye.
18
Alivaa kulaani kama vazi lake, nayo laana ikamwingia mwilini mwake kama maji, kwenye mifupa yake kama mafuta.
19
Na iwe kama joho alilozungushiwa, kama mshipi aliofungiwa daima.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options