Zaburi 109:17-19
17
Alipenda kulaani, nayo laana ikampata; hakupenda kubariki, kwa hiyo baraka na ikae mbali naye.
18
Alivaa kulaani kama vazi lake, nayo laana ikamwingia mwilini mwake kama maji, kwenye mifupa yake kama mafuta.
19
Na iwe kama joho alilozungushiwa, kama mshipi aliofungiwa daima.