Skip to content
Zaburi 109:1-4

Zaburi 109:1-4

1
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Mungu, ambaye ninakusifu, usiwe kimya,
2
kwa maana watu waovu na wadanganyifu wamefungua vinywa vyao dhidi yangu; wasema dhidi yangu kwa ndimi za udanganyifu.
3
Wamenizunguka kwa maneno ya chuki, wananishambulia bila sababu.
4
Wanachonilipa badala ya urafiki wangu ni kunishtaki, lakini mimi ninawaombea.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options