Skip to content
Zaburi 107:4-6

Zaburi 107:4-6

4
Baadhi yao walitangatanga jangwani, hawakuona njia ya kuwafikisha mji ambao wangeweza kuishi.
5
Walikuwa na njaa na kiu, nafsi zao zikadhoofika.
6
Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options