Skip to content
Zaburi 107:37-38

Zaburi 107:37-38

37
Walilima mashamba na kupanda mizabibu, nayo ikazaa matunda mengi,
38
Mungu aliwabariki, hesabu yao ikaongezeka sana, wala hakuruhusu mifugo yao kupungua.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options