Zaburi 107:35-38
35
Aligeuza jangwa likawa madimbwi ya maji, nayo ardhi kame kuwa chemchemi za maji zitiririkazo;
36
aliwaleta wenye njaa wakaishi humo, nao wakajenga mji wangeweza kuishi.
37
Walilima mashamba na kupanda mizabibu, nayo ikazaa matunda mengi,
38
Mungu aliwabariki, hesabu yao ikaongezeka sana, wala hakuruhusu mifugo yao kupungua.
Settings