Skip to content
Zaburi 107:35-37

Zaburi 107:35-37

35
Aligeuza jangwa likawa madimbwi ya maji, nayo ardhi kame kuwa chemchemi za maji zitiririkazo;
36
aliwaleta wenye njaa wakaishi humo, nao wakajenga mji wangeweza kuishi.
37
Walilima mashamba na kupanda mizabibu, nayo ikazaa matunda mengi,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options