Skip to content
Zaburi 107:35-37

Zaburi 107:35-37

35
Aligeuza jangwa likawa madimbwi ya maji, nayo ardhi kame kuwa chemchemi za maji zitiririkazo;
36
aliwaleta wenye njaa wakaishi humo, nao wakajenga mji wangeweza kuishi.
37
Walilima mashamba na kupanda mizabibu, nayo ikazaa matunda mengi,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options