Skip to content
Zaburi 107:28-30

Zaburi 107:28-30

28
Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawatoa kwenye taabu yao.
29
Akatuliza dhoruba kwa mnongʼono, mawimbi ya bahari yakatulia.
30
Walifurahi ilipokuwa shwari, naye akawaongoza hadi bandari waliyoitamani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options