Skip to content
Zaburi 107:28-29

Zaburi 107:28-29

28
Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawatoa kwenye taabu yao.
29
Akatuliza dhoruba kwa mnongʼono, mawimbi ya bahari yakatulia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options