Skip to content
Zaburi 107:23-25

Zaburi 107:23-25

23
Wengine walisafiri baharini kwa meli, walikuwa wafanyabiashara kwenye maji makuu.
24
Waliziona kazi za Bwana, matendo yake ya ajabu kilindini.
25
Kwa maana alisema na kuamsha tufani iliyoinua mawimbi juu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options