Zaburi 107:17-20
17
Wengine wakawa wapumbavu kutokana na uasi wao, wakapata mateso kwa sababu ya uovu wao.
18
Wakachukia kabisa vyakula vyote, wakakaribia malango ya mauti.
19
Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.
20
Akalituma neno lake na kuwaponya, akawaokoa kutoka maangamizo yao.
Settings