Skip to content
Zaburi 107:17-18

Zaburi 107:17-18

17
Wengine wakawa wapumbavu kutokana na uasi wao, wakapata mateso kwa sababu ya uovu wao.
18
Wakachukia kabisa vyakula vyote, wakakaribia malango ya mauti.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options