Skip to content
Zaburi 106:9-11

Zaburi 106:9-11

9
Alikemea Bahari ya Shamu, nayo ikakauka, akawaongoza katika vilindi vyake kama vile jangwani.
10
Aliwaokoa mikononi mwa adui; kutoka mikononi mwa adui aliwakomboa.
11
Maji yaliwafunika adui zao, hakunusurika hata mmoja.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options