Skip to content
Zaburi 106:6-7

Zaburi 106:6-7

6
Tumetenda dhambi, kama vile baba zetu walivyotenda, tumekosa na tumetenda uovu.
7
Wakati baba zetu walipokuwa Misri, hawakuzingatia maajabu yako, wala hawakukumbuka wingi wa fadhili zako, bali waliasi kando ya bahari, Bahari ya Shamu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options