Skip to content
Zaburi 106:44-46

Zaburi 106:44-46

44
Lakini akaangalia mateso yao wakati aliposikia kilio chao;
45
kwa ajili yao akakumbuka agano lake, na kutokana na upendo wake mkuu akapooza hasira yake.
46
Akawafanya wahurumiwe na wote waliowashikilia mateka.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options