Skip to content
Zaburi 106:44-46

Zaburi 106:44-46

44
Lakini akaangalia mateso yao wakati aliposikia kilio chao;
45
kwa ajili yao akakumbuka agano lake, na kutokana na upendo wake mkuu akapooza hasira yake.
46
Akawafanya wahurumiwe na wote waliowashikilia mateka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options