Zaburi 106:43-46
43
Mara nyingi aliwaokoa lakini walikuwa wamezama kwenye uasi, nao wakajiharibu katika dhambi zao.
44
Lakini akaangalia mateso yao wakati aliposikia kilio chao;
45
kwa ajili yao akakumbuka agano lake, na kutokana na upendo wake mkuu akapooza hasira yake.
46
Akawafanya wahurumiwe na wote waliowashikilia mateka.
Settings