Skip to content
Zaburi 106:43-45

Zaburi 106:43-45

43
Mara nyingi aliwaokoa lakini walikuwa wamezama kwenye uasi, nao wakajiharibu katika dhambi zao.
44
Lakini akaangalia mateso yao wakati aliposikia kilio chao;
45
kwa ajili yao akakumbuka agano lake, na kutokana na upendo wake mkuu akapooza hasira yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options